Wimbi La Siasa

Tume ya uchaguzi nchini DRC kumtangaza rais Felix Tshisekedi mshindi uchaguzi wa Disemba 20 2023.

Informações:

Sinopsis

Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa