Wimbi La Siasa

Mvutano kati ya ofisi ya rais nchini Kenya na idara ya mahakama

Informações:

Sinopsis

Rais wa Kenya William Ruto, ameingia kwenye mvutano na idara ya Mahakama. Ruto anasema Mahakama imejawa na Majaji mafisadi, wanaopindisha haki na kukwamisha miradi za serikali. Jaji Mkuu Martha Koome amekanusha madai hayo. Nini hatima ya mvutano huu ?