Wimbi La Siasa

Matarajio ya wakongo baada ya kuapishwa kwa rais Félix Tshisekedi

Informações:

Sinopsis

Wimbi la siasa imeangazia fursa iliyopo kidiplomasia kwa rais wa DRC Felix Thisekedi aliyeapishwa Jumamosi iliyopita, kuongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili.DR Congo, imekuwa kwenye mvutano wa kidiplomasia na Rwanda, kwa madai kuwa Kigali inawaunga mkono waasi wa M23 eneo la mashariki. Ruben Lukumbuka amewaalika Francois Alwende, mtaalamu wa siasa za DRC akiwa jijini Nairobi pia  Guerschome Kahebe pia ni mchambuzi wa siasa akiwa Jijini Washington nchini Marekani.