Wimbi La Siasa

AU yakosa kupata suluhu kwa mizozo ya Africa

Informações:

Sinopsis

Viongozi wa Africa wamekutana mwisho wa juma katika mkutano wao wa kila mwaka wa 37, nchini Ethiopia walishindwa kuja na njia ya mapoja kumaliza migogoro barani. Je tatizo la Africa nini?Je Africa inaweza jitegemea? ndio baadhi ya maswali Benson Wakoli, na wachmbuzi mwanadiplomasia Macharia Munene pamoja na mchambuzi wa siasa za kimataifa dkt Braine Wanyama wanajaribu kuyajibu katika makala haya.