Sbs Swahili - Sbs Swahili
Yaliyojiri Afrika: Burundi yapewa nafasi ya uwenyekiti AU
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:08:35
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Kuteuliwa kwa Burundi kuwa mwenyekiti wa umoja wa Afrika, kunatarajiwa kuleta tija katika juhudi zakutatuwa migogoro inayo zikabili baadhi ya nchi za jumuia hiyo kutokana na Burundi kuwa na uzoefu katika maswala ya kusimamia amani.