Sbs Swahili - Sbs Swahili
Makala leo: Wairani-Waaustralia waomba demokrasia baada ya mashambulizi ya Marekani na Israeli
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:11:14
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Wairani-Waaustralia wanaelezea hisia mseto kuhusu mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Iran, pamoja na mauaji ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei.