Sbs Swahili - Sbs Swahili
Yaliyo jiri Afrika: Tahadhari yatolewa kwa mlipuko wa virusi vinavyo sababisha UVIKO-19 Tanzania
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:08:05
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Wizara ya afya Tanzania imesema kuwa maambukizi ya wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na Uviko-19 yameongezeka na kuwataka wananchi kuchukua hatua stahiki za kujikinga na maambukizi hayo.