Sbs Swahili - Sbs Swahili

Yaliyojiri Afrika: 45 wafariki katika mafuriko mjini Nairobi

Informações:

Sinopsis

Nchini kenya idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa wiki iliopita, imeongezeka kutoka 23 na sasa idadi hiyo imefikia watu 45, kwa mujibu wa taarifa ya polisi nchini humo.