Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari: Serikali ya Australia na Singapore kutia saini makubaliano mapya ya usambazaji wa mafuta
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:13:11
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Waziri Mkuu Anthony Albanese anasema uhusiano kati ya Australia na Singapore ni muhimu zaidi kuliko hapo awali, nchi hizo mbili zikijiandaa kusaini makubaliano mapya ya mafuta.