Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari: Kenya na Ufaransa zapiga hatua katika mkataba wa ulinzi
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:05:39
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Serikali ya Australia inasema haifikirii kutuma meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz, baada ya Rais Donald Trump kusema mataifa mengine yatahusika katika kizuizi cha Marekani kwenye njia hiyo ya maji.