Informações:
Sinopsis
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
Episodios
-
Tume ya uchaguzi nchini DRC kumtangaza rais Felix Tshisekedi mshindi uchaguzi wa Disemba 20 2023.
03/01/2024 Duración: 09min -
Raia wa DRC wapiga kura kumchagua rais na viongozi wengine
23/12/2023 Duración: 08minWananchi wa DRC zaidi ya Milioni 40 wanapiga kura kumchagua rais, wabunge na madiwani. Tunachambua kwa kina.
-
Ripoti ya kamati ya maridhiano nchini Kenya
30/11/2023 Duración: 09minSuala la gharama ya maisha kupunguzwa lilikosa kupewa nafasi kwenye vikao vya jopo la maridhiano
-
Mjadala mkali Tanzania juu ya katiba mpya kwanza au mageuzi ya uchaguzi
18/11/2023 Duración: 10minMwishoni mwa wiki jana mjadala umeibuka kati ya wadau wa kisiasa nchini Tanzania kuhusu nini kingekuwa cha kwanza kuwasilishwa bungeni, muswada wa marekebisho ya katiba au sheria za uchaguzi. Ni mjadala ambao umewagawa hata wapinzani, ambapo chama kikuu cha upinzani Chadema chenyewe kinataka katiba mpya kwanza, huku vyama vingine vyenyewe vikisema sheria ya uchaguzi ianze.Wachambuzi ni pamoja na Jawadu Mohammed kutoka Tanzania pia Dr. Nicodemus Minde akiwa nchini Kenya.